Muigizaji wa filamu Tanzania na Afrika Mashariki, Rachel Njingo, ameibuka filamu mpya Kidudumtu. Katika filamu ya Kidudumtu Rachel Njingo ameshirikiana na wasanii mbalimbali wakiwemo Jack Chaz, Haji Adamu, Halima Yahaya, Jack Chat, Piere Joseph Ahmrd Makambaza.
Rachel Njingo alidai baada ya kuakaa kwa muda mrefu na akitamba na filamu ya CLARITHA iliyoshika vilivyo soko la filamu Afika Mashariki na Kati na sasa aja na ujuo mpya ma kutoka na filamu ya Kidudumtu filamu inayo tarajia kutoka hivi karibu nchini Tanzania.
Rachel, alisema "kimya chake cha muda baada ni kutoka na kuanda filamu
mpya ya Kidudumtu ambayo inakaribia kutoka hivi karibuni .alisema
nashukuru
Mungu nimemaliza filamu mpya ya Kidudumtu salama na naomba watu
waisubirie ujio mpya,"
aliongeza Rachel Njingo.