Akizungumza na Mwandishi wa habari hizi kutoka Dodoma, Rachel alisema wanasanii wengi anaowafahamu
ambao wamejaribu kutoka kimataifa pasipo kujijengea misingi mizuri
nyumbani, wameshindwa kufanikiwa.
Msanii huyo wa filamu 'Crita ' na 'Kidudumtu', alisema wasanii kama Wema Sepetu aliyefanikiwa sana nchini, anaweza kufika mbali sana
kimataifa kwa sababu tayari ana sapoti kubwa nyumbani.
Alisema kabla ya kuanza harakati za kujitangaza kimataifa, Wema
alihakikisha amefanikiwa kuteka soko la nyumbani na ndio maana hata
alipoanza kutoka nje kimuziki, amefanikiwa 'kutoboa'.
Rachel Njingo ambaye kwa sasa anatamba na filamu ya ''Clarita
aliomshirikisha wasanii kidao'